Nawasalimu kwa jina la Bwana yesu kristo!!kesho jisikie kifika katika kikao cha kwaya kama mwana heavenly kitachofanyika kesho ssaa nane mchana. unaombwa ufike bila kukosa kwasababu nimuhimu sana.
tunakutakia maandalizi mema ya kupanga kuhudhuria na ubarikiwe.
tunakutakia maandalizi mema ya kupanga kuhudhuria na ubarikiwe.