27 Mei 2013

WANA KWAYA KWAYA YA VIJANA KIGAMBONI WAKIWA KATIKA SHEREHE YA KUWAAGA MWAKA WA TATU KATIKA CHUO CHA MWALIMU NYERERE.


Vijana hoa wakiwa wamependeza wakiwahudumia katika uimbaji siku ya jumapili ya tarehe 26 may 2013, wakiwa mameambatana na mgeni rasmi kutoka katika kanisa la kigamboni DR John layaa mkuu wa mambo ya elimu katika kanisa la kigamboni.